Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisalimiana na familia ya marehemu Bi. Naserian Parshuku alipokwenda kutoa pole kwa mume wa marehemu Philemon Parshuku eneo la Kimindorosi Olisiti Arusha tarehe 1 Machi 2023.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akisaini kitabu cha maombolezo cha marehemu Bi. Naserian Parshuku alipokwenda kutoa pole kwa mume wa marehemu Philemon Parshuku eneo la Kimindorosi Olisiti Arusha tarehe 1 Machi 2023.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akimpa pole mzee Philemon Parshuku eneo la Kimindorosi Olisiti jijini Arusha kufuatia kufiwa na mkewe Bi. Naserian Parshuku. waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na waombolezaji wakati wa msiba wa mke wa mzee Philemon Parshuku eneo la Kimindorosi Olisiti jijini Arusha.

Sehemu ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Bi Naserian Parshuku eneo la Kimindorosi Olisiti jijini Arusha.

Mzee Philemon Parshuku aliyefiwa na mkewe akiwa na waombolezaji wengine eneo la Kimindorosi Olisiti jijini Arusha.

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akiwa katika picha na wajumbe wa chama cha mapinduzi. (PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
Share To:

emmanuel mbatilo

Post A Comment: