Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atakuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya ufungaji wa Matembezi ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) katika kuadhimisha Miaka 59 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. 

Hafla hiyo itafanyika kesho Januari 10,2023 PAJE - KUSINI UNGUJA.


#CCMImetimia

#KaziIendelee

Share To:

Post A Comment: