Mara nyingi wafugaji wengi wamekuwa wakilalamika ya kwamba kuku wao wamekuwa hawatagi, na wengi wao wamekuwa hawajui kwanini inakuwa hivyo.
Sababu ya Kuku kupunguza utagaji ni kama zifuatazo;-
- Wamebanana, yaani hawakai kwa raha.
- Majogoo yamezidi katika chumba(weka jogoo 1 kwa mitetea 10)
- Hawapewi maji safi ya kutosha.
- Kuku wamezeeka (umri zaidi ya miaka miwili na nusu).
- Mwanga hautoshi.
- Hawakupewa chakula bora au cha kutosha.
- Maumbile ya kuku mwenyewe.
Sababu ya Kuku kupunguza utagaji ni kama zifuatazo;-
- Wamebanana, yaani hawakai kwa raha.
- Majogoo yamezidi katika chumba(weka jogoo 1 kwa mitetea 10)
- Hawapewi maji safi ya kutosha.
- Kuku wamezeeka (umri zaidi ya miaka miwili na nusu).
- Mwanga hautoshi.
- Hawakupewa chakula bora au cha kutosha.
- Maumbile ya kuku mwenyewe.
Post A Comment: