Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwaonyesha wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) tenki la maji lililopo Mkuranga wakati wajumbe hao walipotembelea DAWASA na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Mkuranga.


Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mheshimiwa Japhet Hasunga akibonyeza kitufe cha kuwashia pampu ya maji wakati kamati hiyo ilipotembelea na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Mkuranga unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiangalia tenki la maji lililopo Mkuranga wakati wajumbe hao walipotembelea na kukagua utekelezaji wa mradi wa maji wa Mkuranga unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)
Share To:

Post A Comment: