Waziri
Mkuu Mstaafu wa Ethiopia na Mwenyekiti wa Shirika la Muungano wa
Mapinduzi ya Kijani Afrika (AGRA), Haile Mariam Desalegne akizungumza na
waandishi wa habari kuhusu mabadiliko ya kimuundo ya kilimo cha
Kiafrika katika bara zima la Africa na haswa Tanzania, katika
mkutano uliofanyika leo kwenye hoteli ya Hyatt Regency, Dar es salam.
Mwenyekiti huyo yupo nchini ikiwa ni moja kati ya nchi saba
anazozitembelea kwa lengo la kuhamasisha kilimo cha kisasa na bora.
Wapili kulia ni Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Shirika hilo, Kushoto ni Naibu Waziri wa
Kilimo, Hussein Bashe pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - TAMISEMI,
Prof. Riziki Shemdoe.Waziri
Mkuu Mstaafu wa Ethiopia na Mwenyekiti wa Shirika la Muungano wa
Mapinduzi ya Kijani Afrika (AGRA), Haile Mariam Desalegne akizungumza na
waandishi wa habari kuhusu mabadiliko ya kimuundo ya kilimo cha
Kiafrika katika bara zima la Africa na haswa Tanzania, katika mkutano uliofanyika leo kwenye hoteli ya Hyatt Regency, Dar es salam.
Rais Mstaafu wa awamu ya nne ambaye ni Mjumbe wa Bodi ya Shirika la Muungano wa Mapinduzi ya Kijani Afrika (AGRA), Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo kwenye hoteli ya Hyatt Regency, Dar es salam. Kushoto ni Waziri
Mkuu Mstaafu wa Ethiopia na Mwenyekiti wa Shirika la Muungano wa
Mapinduzi ya Kijani Afrika (AGRA), Haile Mariam Desalegne.
Post A Comment: