Daktari akionyesha stika atakayobandika kwenye hospitali anakotoka kuonyesha huduma za WCF zinapatikana kwenye hospitali husika, wakati wa kufungwa kwa mafunzo hayo
Baadhi ya madaktari wakionyesha stika watakayobandikwa kwenye hospitali wanakotoka kuonyesha huduma za WCF zinapatikana kwenye hospitali hizo, wakati w akufungwa kwa mafunzo hayo
Dkt. Nancy Shuma (kushoto) kwa niaba ya washiriki wenzake akikabidhiwa stika itakayobandikwa kwenye hospitali anayofanyia kazi kuonyesha huduma za WCF zinapatikana kwenye hospitali husika. Anayemkabidhi ni Mkuu w akitengo cha Mahusiano na Uhusiano wa umma WCF, Bi. Laura Kunenge.
Dkt. Omar Chande (wapili kushoto), kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Arusha akikabidhio vyeti kwa washiriki.
Dkt. Peter S. Mabula akizungumza kwa niaba ya washiriki wenzake wakati wa kufunga mafunzo hayo.
Dkt. Omar Chande, akitoa hotuba ya kufunga mafunzo kwaniaba ya mganga mkuu wa mkoa wa Arush
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba na Tathmini wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dkt. Abdulsalaam Omary
Dkt. Pascal M agesa, Afisa madai na tathmini WCF
Dkt. Ali Mtulia, Meneja anayeshughulikia madai na Tathmini WCF
Post A Comment: