Ametoa kauli hiyo jana Jumatatu Novemba 11, 2019 jijini Dar es Salaam wakati akifungua mkutano wa mwaka wa baraza la udhamini wa sayansi Afrika, kuahidi kuwa Serikali itaendelea kufadhili miradi ya utafiti wa sayansi nchini.
“Kwanza kuwe na kubadilishana wataalamu wa utafiti wa sayansi, wabadilishane matokeo ya utafiti wa sayansi na machapisho na kuwe na semina na mafunzo ya teknolojia.”
“Sayasi na teknolojia ndio chanzo cha ukuaji wa uchumi kwa kuwa ndio chanzo cha kuongezeka kwa uzalishaji na ushindani wa biashara na ndio chanzo cha ajira,” amesema Profesa Ndalichako.
Ameongeza, “utafiti wa kisayansi una nafasi kubwa katika maendeleo ya jamii na uchumi katika jamii yoyote.”
Post A Comment: