Msanii wa Muziki na Diwani wa Mwanga Kaskazini, Clayton Chipando ‘Baba Levo’ ameachiwa huru leo baada ya kumaliza hukumu yake ya miezi mitano huku Mahakama ikijiridhisha kuwa kifungo alichoongezewa kilikuwa batili.

Kabla ya kuachiwa huru leo, Baba levo alihukumiwa kwenda jela Miezi mitano Agosti 01, 2019 na Mahakama ya Mwanzo Mwandiga, Kigoma baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani, baadae alikata rufaa kupinga hukumu hiyo na akaongezewa hukumu
Share To:

msumbanews

Post A Comment: