Rais Magufuli amtumbua Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kyela msumbanews on July 02, 2019 MATUKIO, Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kyela, Lucy Mganga kwa kutoridhishwa na utendaji kazi wake. Taarifa ya utenguzi huo imetolewa leo jijini Dodoma na waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo. Share To: NextNewer Post PreviousOlder Post msumbanews View Profile
Rais John Magufuli ametengua uteuzi wa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Kyela, Lucy Mganga kwa kutoridhishwa na utendaji kazi wake. Taarifa ya utenguzi huo imetolewa leo jijini Dodoma na waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo.
Post A Comment: