ARUSHA 1-min
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti ofisini kwake wakati Kamati hiyo ilipomtembelea kabla ya kuanza ziara yake katika Mkoa huo.
ARUSHA 2-min
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo wakati Kamati hiyo ilipomtembelea ofisini kwake kabla ya kuanza ziara yake katika Mkoa huo.
ARUSHA 4-min
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiongozwa na Mwenyekiti, Mhe. George Simbachawene wakiangalia mitambo iliyotumika kutengeneza matairi katika kiwanda cha General Tyre kilichoko Arusha, mwenye suti nyeusi ni Mkurugenzi wa Shirika la Maendeleo (NDC), Profesa Damian Gabagambi. Wajumbe hao wapo katika ziara ya siku saba Mkoani Arusha
ARUSHA 6-min
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti , Mhe. George Simbachawene akizungumza katika kikao cha Kamati hiyo na uongozi wa Chuo cha Uhasibu Arusha  (AIA) wakati Kamati hiyo ilipotembelea chuo hicho.kushoto kwake ni Naibu Mkuu wa Baraza la Chuo hicho,  Ndugu Juma Kaniki na kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Mrisho Gambo.
ARUSHA 7-min
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti wakiongozwa na Mwenyekiti, Mhe. George Simbachawene wakiwa katika kikao cha pamoja na uongozi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (AIA) wakati Kamati hiyo ilipotembelea chuo hicho.

PICHA NA OFISI YA BUNGE
Share To:

msumbanews

Post A Comment: