Home
SIASA
Kambi ya Mbowe yazidi kuporomoka Diwani mwingine Achomoka 
 
Aliyekuwa Diwani kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kata ya Lromu Wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro Ndg. Shimiliya ufoo  ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na nyadhifa zake zote ndani ya Chadema na kujiunga rasmi CCM asubuhi hii. 
 
 
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 Back To Top
 
Post A Comment: