Mwenyekiti
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akijibu
miongozo mbalimbali ya wabunge leo Bungeni Jijini Dodoma.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza
jambo na Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe.Mhandisi Isaac Kamwelwe
wakati wa kikao cha ishirini na tisa cha mkutano wa 11 leo Jijini
Dodoma.
Waziri
wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na watu wenye
ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa
Serikali Mhe.Dk.Adelardus Kilangi wakati wa kikao cha ishirini na tisa
cha mkutano wa 11 leo Jijini Dodoma.
Waziri
wa Kilimo Mhe.Dkt.Charles Tizeba akiwasilisha hotuba ya Makadirio ya
mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali Mhe.Dk.Adelardus Kilangi akiteta jambo na Mbunge wa
Vunjo Mhe.James Mbatia wakati wa kikao cha ishirini na tisa cha mkutano
wa 11 leo Jijini Dodoma.
Picha zote na Daudi Manongi.MAELEZO-DODOMA.
Post A Comment: