Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua Prof. Frowin Paul Nyoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania pamoja na wajumbe wapya sita wa bodi hiyo.

Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na Wizara hiyo na kusema uteuzi huo umeanza kufanya kazi rasmi Aprili 18, 2018 na wataitumikia bodi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu.

Kwa taarifa kamili soma hapa chini..

Share To:

msumbanews

Post A Comment: