RAIS John Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo wamehudhuria kusimikwa kwa Askofu Mkuu wa Jimbo la Katoliki la Arusha, Isaac Amani, katika parokia ya Mtakatifu Theresa wa Mtoto Yesu jijini Arusha.

Misa hiyo pia imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na wa kanisa hilo.

Share To:

msumbanews

Post A Comment: