KLABU ya Manchester United wakiwa ugenini wameitwanga timu ya Man City kwa jumla ya bao 3-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya uingereza ulimalizika usiku huu.
Man City walianza mchezo kwa kasi ya ajabu na kuwapoteza kabisa Man U, jambo ambalo liliwafanya kumiliki mpira kwa kiwango kikubwa katika kipindi chote cha kwanza.
Man City ambao ni vinara wa Ligi hiyo ndiyo walikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za United kunako dakika ya 25 kupitia kwa Vincent Kompany aliyemalizia mkwaju wa kona kwa kichwa chake.
Dakika 5 baadaye Ilkay Guendogan akaingia na kuiandikia Man City bao la pili ambalo lilidumu mpaka mwisho wa kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili Man U waliingia na moto wa kufa mtu huku wakiishambulia City kwa nguvu jitihada zilizozaa bao la kwanza kupitia kwa Paul Pogba kunako dakika ya 53.
Dakika mbili baadaye, Pogba alirudi tena nyavuni na kuandika bao la pili na la kusawadhisha kwa Man U kunako dakika ya 55 kabla ya Raheem Sterling kufunga bao la tatu na la kuongoza dakika ya 63.

MSIMAMO

  • TeamPGDPts
    1Manchester City326684
    2Manchester United323871
    3Liverpool334067
    4Tottenham Hotspur323767
    5Chelsea312356
    6Arsenal311751
    7Burnley32349
    8Leicester City32343
    9Everton33-1541
    10Newcastle United32-838
    11Bournemouth33-1238
    12Watford33-1737
    13Brighton and Hove Albion32-1435
    14West Ham United31-1833
    15Swansea City32-1932
    16Huddersfield Town33-2832
    17Crystal Palace33-1931
    18Southampton31-1828
    19Stoke City33-3327
    20West Bromwich Albion33-2621
Share To:

msumbanews

Post A Comment: