Ligi Kuu soka ya Tanzania Bara VPL itaendelea leo kwa michezo minne kuchezwa.
Mechi 3 Kati ya Hizo NNE zitaanza saa kumi kamili Jioni wakati mchezo kati ya Azam Fc dhidi ya Mwadui Ukianza majira ya saa moja usiku.

  1. Azam Fc vs Mwadui Fc
  2. Lipuli vs Njombe Mji
  3. Stand United vs Prisons
  4. Maji Maji Vs Ndanda
Share To:

msumbanews

Post A Comment: