Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dk.Helen Kijo-Bisimba  jana alifika Msibani kwa mwanafunzi Akwilina, Mbezi mwisho katika Wilaya ya Ubungo kwa ajili ya kuwapa pole wafiwa.

Akwilina alifariki dunia Februari 16, 2018 baada ya kupigwa risasi akiwa kwenye daladala wakati polisi wakiwatawanya waandamanaji ambao ni wafuasi wa Chadema
Share To:

msumbanews

Post A Comment: