Nilikuwa mwanafunzi ambaye alisoma kwa bidii, lakini matokeo yangu hayakuwahi kuonyesha juhudi nilizoweka.

Kila nilipokaribia mitihani, nilikuwa najisikia nimejiandaa vizuri. Nilikesha nikisoma, nilihudhuria vipindi vyote, na hata walimu walikuwa wakiamini ningefaulu. Lakini matokeo yalipotoka, nilikuwa nafeli.

Mara ya kwanza nilidhani nilikosea katika maandalizi. Nilijipanga upya na kusoma kwa bidii zaidi. Lakini nilipofanya mtihani wa pili, matokeo yalikuwa mabaya kuliko ya kwanza. Nilihisi aibu kubwa. Wenzangu waliendelea na masomo, huku mimi nikirudia mitihani.

Nilipopata nafasi ya tatu, niliahidi nafsi yangu kwamba lazima nifaulu. Nilitumia fedha nyingi kwa tuition, nikanunua vitabu vipya na nikajitenga na marafiki ili nisome kwa utulivu. Lakini nilipata matokeo yale yale nilifeli tena.

Nilianza kuamini labda sikuumbwa kwa ajili ya masomo. Familia yangu ilivunjika moyo, na baadhi ya watu waliniambia nitafute kazi za mikono badala ya kuendelea kupoteza muda darasani. Maneno hayo yalinichoma moyo, lakini sikuwa tayari kukata tamaa.

Siku moja nilikutana na mwalimu wangu wa zamani ambaye alinishangaa kuniona bado nikipambana na mitihani. Baada ya kusikiliza simulizi yangu, aliniambia kuna wakati vikwazo vya mafanikio haviwezi kuelezeka kwa juhudi pekee. SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: