Nilipoolewa, niliamini ndoa yangu ingekuwa mahali pa furaha, amani, na upendo. Kwa miaka ya mwanzo mambo yalikuwa mazuri. 

Mimi na mume wangu tulikuwa karibu sana na tulifurahia muda wetu pamoja. Lakini kadri miaka ilivyopita, hali ilianza kubadilika taratibu.

Mazungumzo yetu yalipungua.

Tulianza kugombana kwa mambo madogo madogo. Wakati mwingine tungekaa siku nzima bila kuzungumza vizuri. 

Upendo ambao zamani ulikuwa wazi ulianza kupoa kiasi kwamba nilianza kuhisi kama tunaishi pamoja kama marafiki tu. Kwa kweli jambo hilo liliniumiza sana.

Nilijaribu kufanya kila nilichoweza ili kuboresha hali. Nilizungumza naye mara kadhaa kuhusu hisia zangu, lakini mazungumzo mengi yaliishia kwenye mabishano. Kadri muda ulivyopita, nilianza kuogopa kwamba ndoa yetu ilikuwa ikielekea mahali pabaya...SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: