Kwa muda mrefu, nilikuwa mtu ambaye alipenda kukaa kimya. Kila nilipojikuta kwenye mkutano, darasani, au sehemu yenye watu wengi, niliepuka kuzungumza....TAZAMA VIDEO.

Nilikuwa na mawazo mazuri kichwani, lakini nilikosa ujasiri wa kuyasema mbele ya wengine. Tatizo hilo lilianza kunisumbua tangu nikiwa mdogo.

Kila niliposimama kuzungumza mbele ya watu, moyo wangu ulianza kwenda mbio. Mikono ilitetemeka na wakati mwingine nilisahau hata kile nilichotaka kusema. 

Kwa kweli hali ile ilinifanya nijisikie duni. Niliona watu wengine wakizungumza kwa kujiamini, wakitoa maoni yao na kupata fursa mbalimbali maishani.

Mimi nilibaki nyuma kwa sababu ya hofu iliyokuwa ndani yangu. Kadri miaka ilivyopita, confidence yangu ilizidi kupungua. 

Nilianza kuamini kwamba labda sikuumbwa kuwa mtu wa kuonekana au kusikilizwa. Hata kwenye kazi na mahusiano yangu, nilikuwa na tabia ya kujishusha na kuhisi kwamba watu wengine walikuwa bora kuliko mimi.

Kilichoniumiza zaidi ni kwamba nilijua uwezo nilikuwa nao. Lakini uwezo ule ulikuwa umefichwa nyuma ya hofu na kutojiamini. SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: