Kwa miaka mingi nilikuwa naishi maisha ya kutafuta kazi kila siku bila mafanikio ya maana. Baada ya kumaliza masomo, nilikuwa na matumaini makubwa kwamba ningepata kazi nzuri haraka.

Nilikuwa na ndoto ya kusaidia familia yangu, kujitegemea, na kuishi maisha bora. Lakini mambo hayakwenda kama nilivyotarajia. Nilianza kutuma applications kila mahali.

Mara nyingine nilikuwa nikiitwa interviews, lakini mwisho wa siku sikupata nafasi. Wakati mwingine hata sikupigiwa simu kabisa. Miezi iligeuka miaka, na nilijikuta nikifanya vibarua vya hapa na pale ili kujisitiri.

Kwa kweli iliniumiza sana. Kilichoniumiza zaidi ni kuona watu niliomaliza nao shule wakisonga mbele huku mimi nikihangaika. Wakati mwingine nilianza kujiuliza kama nilikuwa nimekosea njia maishani. SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: