Walikuwa wananiita “mshenzi wa mapenzi.” Marafiki zangu wa karibu walinicheka kwa siri, wengine wakisema sijui kuchagua wanaume, wengine wakinihurumia kwa kimya. Katika familia, nilikuwa mfano wa “usiotakiwa kufuatwa”ndugu walinitumia kama somo kwa wadogo zangu, “msije kuwa kama dada yenu.”

Kwa miaka nane, nilihangaika kwenye mahusiano yaliyokuwa na maumivu tu. Nilivumilia udhalilishaji, nililipa kodi ya nyumba kwa wanaume wasiokuwa na kazi, nilishuhudia wanaume wakinipenda mchana na kunisaliti usiku. Kuna wakati mmoja nilimkuta mchumba wangu wa wakati huo amelala na mpango wake wa kando kitandani kwangu. Nilihisi dunia imenimeza.

Nilikuwa nimefikia mahali ambapo nilijiona sifai kupendwa. Nilijiambia pengine mimi siyo mrembo, au kuna kitu kibaya ndani yangu kinachowafanya wanaume kunitumia kisha kunitupa. Nilijaribu kubadilika kubadilisha mtindo wa nywele, mavazi, tabia… lakini bado nilikuwa naishia kuumizwa. Soma zaidi hapa 

Share To:

contentproducer

Post A Comment: