Kama kuna kitu kiliniumiza zaidi katika ndoa yangu, ni mume wangu kunifanya nione kama sifai kitandani. Alinipenda kweli mwanzoni, lakini baada ya kujifungua mtoto wetu wa kwanza, alianza kunichukulia kama mzigo. Alianza kunikosoa kwa sauti ya chini lakini ya dharau: “Wewe ni baridi kama jiwe.”
“Hakuna ladha yoyote kwako.” Alikuwa anaongea kama mtu anayechoshwa, na kila mara nilijaribu kumridhisha, alijibu kwa dhihaka: “Unafikiri unafanya kitu?” Nilikuwa naumia kimya kimya, nikijilaumu, nikifikiri labda ni kwa sababu nilikuwa nimejifungua, au labda miili yetu haikuwa na ile ‘chemistry’ tena.
Lakini ndani yangu, nilijua bado ninampenda. Nilijaribu kutafuta msaada, nikaongea na rafiki zangu wa karibu, lakini wengi waliniambia nivumilie. “Wanaume huwa hivyo,” waliniambia. Lakini sikutaka ndoa yangu iendelee kuwa kivuli cha mateso ya kimya kimya. Nilihitaji kujiokoa kabla sijapoteza kila kitu pamoja na heshima yangu binafsi. Soma zaidi hapa
Post A Comment: