Nilikuwa msichana mrembo, mwenye maadili na roho ya kupenda kweli. Lakini kwa miaka mingi, kila mwanaume aliyekuja maishani mwangu aliniacha nikiwa na moyo uliovunjika.

Walikuwa wananitumia, kuniahidi ndoa, kisha baada ya kunipata, walinigeuka kana kwamba mimi si chochote. Nilijaribu kubadilika, kujifunza kutoka kwa makosa yangu, hata kufunga na kuomba lakini haikubadilika chochote. Ilikuwa kana kwamba nililaaniwa kwenye mapenzi.

Marafiki zangu walinicheka. Waliniita “malkia wa heartbreak.” Mama yangu aliniambia pengine najaribu sana. Kila nilipojaribu kuelezea uchungu wangu, walidhani labda mimi ndiye tatizo.

Nilipoingia kwenye uhusiano na kijana mmoja wa kanisani ambaye kila mtu alimwona kama mtakatifu, nilidhani labda huyu ni wa mwisho. Lakini hata yeye alinilaghai, alinitumia kisha akaoa msichana mwingine bila kuniambia. Hapo ndipo moyo wangu ulivunjika kabisa. Soma zaidi hapa 

Share To:

contentproducer

Post A Comment: