Siku zote nilijua ninataka kuwa mama. Nililelewa kwenye familia ya upendo, na ndoto yangu kubwa baada ya ndoa ilikuwa ni kulea mtoto wetu mwenyewe. Lakini mume wangu hakuwa na mtazamo huo.

Alinieleza mapema kabla ya ndoa kwamba kwa sasa hataki mtoto, na labda hata hana mpango wa kuwa mzazi kabisa. Nilidhani angetulia baada ya ndoa, lakini sikujua kwamba kauli hiyo ilikuwa ya kweli kabisa.

Tulipooana, mwaka wa kwanza ulipita na nilipojaribu kuleta mada ya mtoto, alikwepa. Mwaka wa pili, alikua mkali zaidi. Alisema wazi: “Mimi sitaki mtoto. Nisingependa kulea dunia hii ilivyo.” Maneno hayo yalinichoma.

Kila nikiona watoto wa rafiki zangu, kila ninapoona diaper kwenye duka, au baby shower kwenye Instagram, moyo wangu ulikua unazimia kwa ndani. Nilianza kuwa na huzuni isiyoisha.

Marafiki zangu walinijulisha kuwa huenda kuna jambo la ndani zaidi. Moja alinieleza: “Wanaume wengi wanaweza kubadilika, lakini kuna baadhi huwa wamefungwa kiroho wakiwa na sababu zisizoeleweka au mapingamizi ya maisha ya familia.” Akanishauri niwasiliane na watu walio na maarifa ya kusaidia kwenye masuala ya ndoa kiroho. Soma zaidi hapa.

Share To:

contentproducer

Post A Comment: