Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akimpa mtoto matone ya Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akimuwekea  mtoto  alama ya kuwa amepata Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akimuwekea  mtoto  alama ya kuwa amepata Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mtaalamu wa afya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga akiendelea kutoa Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa kupooza (Polio) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akizungumza wakati akizindua Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mwakilishi Wizara ya  Afya, Aziz Sheshe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
 Mganga Mkuu Mkoa wa Shinyanga Dkt. Yudas Ndungile akizungumza wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Afisa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Milipuko - Shirika la Afya Duniani (WHO) Ofisi ya Tanzania Dkt. George Kauki (kulia), Mwakilishi Wizara ya  Afya, Aziz Sheshe (katikati) na Mwakilishi wa OR- TAMISEMI, Carle Silas Lyimo (kushoto) wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mkazi wa Shinyanga Venance Mahona akitoa ushuhuda kuhusu umuhimu wa Chanjo ya polio kwa mtoto wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mkazi wa Shinyanga Lighness Mnuo akitoa ushuhuda kuhusu umuhimu wa Chanjo ya polio kwa mtoto wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Mkazi wa Shinyanga Betisheba George akitoa ushuhuda kuhusu umuhimu wa Chanjo ya polio kwa mtoto wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Wazazi wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Mei 18,2022 katika viwanja vya Kituo cha Afya Kambarage Manispaa ya Shinyanga
Wadau wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.

Wadau wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.

Wadau wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.
Wadau wakiwa kwenye uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Sophia Mjema akisalimiana  na Mwakilishi Wizara ya  Afya, Aziz Sheshe (katikati) Afisa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Milipuko - Shirika la Afya Duniani (WHO) Ofisi ya Tanzania Dkt. George Kauki (kulia) na Mwakilishi wa OR- TAMISEMI, Carle Silas Lyimo (kushoto) wakati wa uzinduzi wa Chanjo ya Polio kwa watoto wenye umri chini ya umri wa miaka mitano Mkoa wa Shinyanga.
Share To:

Post A Comment: