Mafundi Ramadhan na Rajabu Salumu wa kijiji cha Tawi kata ya Mbwara Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, wakiwachotea kokoto Habiba Said na Wastara Habibu kwa ajili ya ujenzi wa tenki la maji kijijini kwao.
Meneja wa RUWASA Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani, Mhandisi Tluway Ninga  akielezea hatua waliofikia katika  ujenzi wa tenki la Maji Kijiji cha Tawi.
Meneja wa RUWASA Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani, Mhandisi Tluway Ninga akionesha namna ya kupanga vyuma ili kunaza ujenzi wa tenki la Maji Kijiji cha Tawi.
Mtendaji wa Kijiji cha Tawi, Kata ya Mbwara Wilaya ya Rufiji Mkoa wa Pwani, Abdallah Kilimba akifafanua jambo kwa waandishi wa habari kuhusu mradi wa maji kijijini hapo.
Muonekano wa mitaro miwili ambapo mmoja utaleta maji kwenye tenki na mwingine utatoa maji kwenda kwa wananchi, katika Mradi wa Maji Tawi wilayani Rufiji mkoani Pwani.
Mwananchi wa Kijiji cha Tawi Kata ya Mbwara Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani,  Wastara Habibu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu faida anazopata kwa kushiriki ujenzi wa mradi wa maji kijijini kwao.
Mwananchi wa Kijiji cha Tawi Kata ya Mbwara Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, Habiba Said akielezea faida anazopata kwa kitendo cha RUWASA kuwapeleka mradi wa maji kijiji. kwao
Mwananchi wa kijiji cha Tawi Kata ya Mbwara Wilaya ya Rufiji, mkoani Pwani, Habiba Said na Wastara Habibu wakimwaga kokote za ujenzi wa tenki la maji kijijini kwao.

Share To:

dottomwaibale

Post A Comment: