Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) wameshiriki Futari ya pamoja na watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kuutukuza Mwezi Mtukufu wa Ramadhan saa moja usiku Ijumaa Mei 7,2021. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga wakichukua Futari
Watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga wakichukua Futari
Watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga wakipata Futari
Watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga wakipata Futari
Watoto wenye mahitaji maalumu (Watoto wenye ualbino, wasioona na viziwi) wanaolelewa katika kituo cha Buhangija Jumuishi Manispaa ya Shinyanga wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakichukua Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari
Wafanyakazi wa SHUWASA wakipata Futari Mei 7,2021 saa moja usiku
Share To:

Post A Comment: