Watumishi
 wa Wizara Maliasili na Utalii washiriki kilele cha Maadhimisho ya Siku 
ya Wanawake Duniani yaliyofanyika leo kimkoa katika Wilaya ya 
Bahi,jijini Dodoma. 
Baadhi
 ya watumishi Wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakimsikiliza mgeni rasmi
 wakati Wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa 
wilayani Bahi, jijini Dodoma 
Watumishi
 Wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakiwa kwenye maandamano wakati Wa 
kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani kilichofanyika kimkoa
 wilaya ya Bahi

Post A Comment: