Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri alipofika kwenye Shule ya Sekondari Kisimiri na kupokelewa na Makamu mkuu wa shule ya Sekondari Kisimiri Mwl. John Awe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri akitoa pongezi kwa walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri kwa jitihada zao walimu zilizo ifanya shule hiyo kuwa mshindi wa pili kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita kwa mwaka huu 2018
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri akizungumza na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.
Nyuso zinazoashiria kufurahia ushindi wa Shule ya Sekondari Kisimiri kushika nafasi ya pili kitaifa kwenye matokeo ya kidato cha Sita mwaka 2018,Kulia kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher Kazeri ni Makamu mkuu wa shule ya Sekondari Kisimiri Mwl. John Awe
Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu ,Grace Mbilinyi Akitoa ufafanuzi wa maswala ya watumishi yaliyoulizwa na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.
mwakilishi wa Afisa elimu Sekondari Mwl. Angela Urasa alipokuwa akiwapongeza walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri
Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru
Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru.
Baadhi ya Walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri walipo kuwa kwenye kikao cha pongezi baina yao na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru
Picha ya pamoja ya viongozi toka  wa Halmashauri na walimu wa Shule ya Sekondari Kisimiri.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: