Shirika la Umeme nchini, TANESCO limetangaza
kutokana na kukosekana umeme katika maeneo mengi nchini ni kutokana na
hitilafu iliyosababishwa na Radi kupiga mifumo ya usambazaji wa umeme
katika gridi ya taifa.
“Kutokana
na tatizo la umeme limejitokeza TANESCO tumefanya juhudi kurejesha hali
ile, tulianza kurejesha Tanga, Chalinze kupitia kituo cha New Pangan,
Dodoma kupitia kituo cha Mtera na sehemu ya kituo cha kidatu” amesema Mkurugenzi Mtendaji wa Tanesco, Dkt. Titus Mwinuka.
Post A Comment: