Afisa Biashara wa Mabwawa ya Majitaka DAWASA Mwajuma Hamza (katikati) akiendelea na zoezi la usajili kwa wamiliki wa magari yanayotoa huduma ya majitaka linaloendeshwa na Mamlaka hiyo lililoanza Oktoba 1 mwaka huu na litadumu kwa muda wa siku 14.
Afisa wa DAWASA akimkabidhi stika mmoja wa wamiliki wa magari ya majitaka baada ya kumaliza zoezi la Usajili wa magari hayo linaloendeshwa kwa siku 14 katika eneo la VingungutiA
Post A Comment: