Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akitelemka kwenye gari maalum la kubebea Watalii wa ndani wakati wanapotembelea vivutio vya utalii katika Hifadhi za wanyamapori lililokuwepo kwenye kwenye maonesho wakati wa mashindano ya mbio za Utalii Marathon Arusha yaliyofanyika jana Jijini Arusha yaliyolenga kuhamasisha Utalii wa ndani has katika kipindi cha ugonjwa wa UVIKO 19 uliotiokisa sekta ya utalii ulimwenguni

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akikabidhiwa zawadi ya picha ya twiga ilichorwa kwenye ubao kwa kutumia moto na Msanii Andrea Mwakabale aliyeshiriki kwenye maonesho wakati wa mashindano ya mbio za Utalii Marathon Arusha yaliyofanyika jana Jijini Arusha yaliyolenga kuhamasisha Utalii wa ndani has katika kipindi cha ugonjwa wa UVIKO 19 uliotiokisa sekta ya utalii ulimwenguni, kushoto ni Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Miraji Mtaturu

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akikimbia mbio za urefu wa kilomita tano wakati wa mashindano ya mbio za Utalii Marathon Arusha yaliyofanyika jana Jijini Arusha yaliyolenga kuhamasisha Utalii wa ndani has katika kipindi cha ugonjwa wa UVIKO 19 uliotiokisa sekta ya utalii ulimwenguni, wa pili kushoto ni Mbunge wa Singida Mashariki na wa pili kulia ni mmoja wa Waandaji wa Mashindano hayo, Samuel Diah.


Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amewataka Wananchi kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini baadala ya kuona vivutio hivyo vipo kwa ajili ya wageni pekee  Ameyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na Washiriki wa mashindano ya mbio za Utalii Marathon Arusha yaliyofanyika jana Jijini Arusha yaliyolenga kuhamasisha Utalii wa ndani has katika kipindi cha ugonjwa wa UVIKO 19 uliotiokisa sekta ya utalii ulimwenguni.


Amesema Serikali imejipanga kuhakikisha inahamasisha utalii wa ndani kupitia michezo mbalimbali ili wananchi waanze utamaduni wa kutembelea vivutio vya utalii tulivyojaliwa nao.”Vivutio vya Utalii tulivyonanvyo ni vyetu sote tembeleeni muone uzuri na upekee wa vivutio vilivyopo nchini.
Katika hatu nyingine, Waziri Dkt. Ndumbaro ametoa wito kwa wadau wengine wa Utalii kuanzisha matukio MENGINE y a michezo itakayohamasisha watalii kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini.


Amesema michezo imkuwa ikipendwa na watu mbalimbali ndani na nje ya nchi hali itakayosaidia kuchochea utamaduni wa watu mbalimbali kutembelea viv ui hivyo Akizungumza wakati hafla hiyo ya utoaji wa zawadi kwa washindi Mbio za Mashindano, amesema ya utalii inataka kubadilsha mtazamo ili watu wengi waweze kujifunza zaidi Dkt. Ndumbaro Dt, Ndumbaro aemezitaka sekta binafsi kuhakikisha zinawekeza hasa katika kipindi hikiambachp sekta ya utalii nchii imetikiswa kwa kiasi kikubwa Dkt, Ndumbaro amesema watali wa ndani hususani sekta ya utalii ni watu muhimu sana kwa vile kazia binafsi ni kuchakata hoja na kutoa maoni
Share To:

TANGA RAHA BLOG

Post A Comment: