Home
CCM CHADEMA
KATIBU MKUU WA CCM DANIEL CHONGOLO AANZA ZIARA YAKE MKOANI SONGWE,WAZEE WA KIMILA WAMSIMIKA JINA LA MLONDWA.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo amesimikwa na Wazee wa Kimila wa
Wilaya Momba mkoani Songwe na kupewa jina la Mlondwa mara baada ya
kupokea taarifa za Serikali na Chama. Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti
ya CCM Taifa wamewasili mkoani Songwe kwa ziara ya siku mbili leo
Julai 9, 2021 (Picha na CCM Makao Makuu)Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo akihutubia Viongozi wa Chama Cha
Mapinduzi pamoja na Serikali wa mkoa wa Songwe mara baada ya kuwasili
mkoani humo.Katibu Katibu Mkuu wa CCM na Sekretarieti ya CCM Taifa
wamewasili mkoani Songwe leo Julai 9, 2021. (Picha na CCM Makao Makuu)
Back To Top
Post A Comment: