Waziri wa Uwekezaji Angela Jasmine Kairuki amechukua  fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Same Magharibi kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi leo Julai 14 , 2020. Anayemkabidhi fomu hiyo ni Katibu wa CCM Wilaya ya Same bibi Victoria Mahembe.
Share To:

Post A Comment: