Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt Anna Mghwira ameagiza kuondolewa mtandaoni video zenye viashiria vya udhalilishaji kwenye mahojiano ya Wanandoa Agnes Mushi na Mumewe Vicent Malya wanaotajwa kuhusika na shambulio la mwili wa Vena Kimario baada ya kufumaniwa kwa kile kinachoelezwa kukiuka maadili na kuwadhalilisha wanawake.

Share To:

Post A Comment: