|
Meneja Mawasiliano wa wa Tigo Woinde shisael akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu Uzinduzi msimu mpya tamasha la Muziki la Tigo Fiesta 2019 kushoto kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya Fiesta Sebastian Maganga katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika mapema jana katika ofisi za Clouds Media Group. |
|
Mwenyekiti wa kamati ya Fiesta Sebastian Maganga akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa. Uzinduzi msimu mpya tamasha la Muziki la Tigo Fiesta 2019 mkutano huo ulifanyika katika ofisi za Clouds Media Group. |
|
Post A Comment: