Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana
na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye,
katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF)
, kwenye viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akihutubia, katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) , kwenye viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajasiriamali wadogo wadogo (Wamachinga) wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati akihutubia, katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) , yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiteta
jambo na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi
Atashasta Nditiye, katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa
mawasiliano kwa wote (UCSAF) , yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square,
jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Meneja wa
Kanda wa TCRA, Anthonio Manyanda, wakati akikagua mabanda, kwenye kilele cha
maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) , yaliyofanyika
katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akihutubia, katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) , kwenye viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Wajasiriamali wadogo wadogo (Wamachinga) wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, wakati akihutubia, katika kilele cha maadhimisho ya miaka (10) ya mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) , yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square, jijini Dodoma Aprili 30, 2019.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Post A Comment: