PMO_9674
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole Mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Cheka Kaviga, baada ya kufiwa na mtoto wake Samson Cheka,katika kanisa la Mchungaji Mwema Ipagala jijini Dodoma Aprili 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_9686
PMO_9689 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima ya mwisho kwa mtoto wa Mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Cheka Kaviga, baada ya kufiwa na mtoto wake Samson Cheka,katika kanisa la Mchungaji Mwema Ipagala jijini Dodoma Aprili 17, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share To:

msumbanews

Post A Comment: