Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akiongea na wawakilishi kutoka taasisi mbalimbali ambao kwa pamoja wanaunda kikosi kazi
cha kusimamia utekelezaji wakatazo la mifukoyaplastikihapanchini.
WajumbehaonikutokaBaraza
la Taifa la HifadhinaUsimamiziwaMazingira (NEMC), MamlakayaMapato Tanzania,
IdarayaUhamiaji, MamlakayaViwanjavyaNdege, Shirika la Viwango Tanzania,
MamlakayaChakulanaDawa, Jeshi la Polisi,OfisiyaMkemiaMkuuwaSerikalinaOfisiyaRaisTawalazaMikoanaSerikalizaMitaa.
KikaohichokimefanyikahiileokatikaUkumbiwa Chuo cha Mipango – Dodoma.
Post A Comment: