Klabu ya Real Madrid imethibitisha mshambuliaji wake, Cristiano Ronaldo amejiunga na Juventus ya nchini Italia.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotoka hivi punde klabu hizo mbili zimeafikiana malipo ya pauni milioni 105 kwaajili ya nahodha huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 33.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: