Kauli 10 za mtu asiye na malengo wala uthubutu.

1. Sina mtaji
2. Sina Connection
3. Nitaanza rasmi kesho
4. Mimi ni wa hivihivi tu
5. Mifumo mibovu ya Serikali ndiyo inayonirudisha nyuma
6. Mke/mme/ndugu zangu Ndiyo walioniangusha/kunitenda/kikwazo
7. Kupata ni majaliwa
8. Usilazimishe mambo
9. Kuna watu special siyo mimi.
10. Sina bahati
Share To:

msumbanews

Post A Comment: