Klabu ya Simba imepata pigo baada ya katibu mukhtasi wake kufariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo.

Julliet alikuwa ni mfanyakazi wa klabu hiyo katika ofisi za makao makuu yake Barabara ya Msimbazi jijini Dar es Salaam.

Msemaji wa Simba, Haji Manara amethibitisha kutokea kwa msiba wa Julliet ambaye inaelezwa alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa pumu.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: