Mawaziri
 wakuu wa zamani, Frederick Sumaye na Edward Lowassa wameondoka katika 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya 
kuhudhuria mazishi ya muasisi wa Chadema, Victor Kimesera.
Viongozi
 hao walifika mahakamani hapo leo asubuhi Machi 29, 2018 kusikiliza kesi
 inayowakabili viongozi sita wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama 
hicho, Freeman Mbowe.
Post A Comment: