Nilipokuwa mdogo, nilikuwa na ndoto ya kuolewa na mwanamume mwenye huruma, anayejali, anayesikiliza na kunipa heshima kama mke.
Lakini kadri nilivyokua, niliingia kwenye uhusiano ambao ulivunja kabisa ndoto zangu. Nikiwa na umri wa miaka 23, nilipenda kwa moyo wangu wote, nikajitoa kwa mwanaume ambaye nilidhani ni mpenzi wa maisha yangu.
Tulikaa naye kwa miaka miwili, lakini kwa kipindi chote hicho nilijikuta nikilia kila siku.
Alininyima mapenzi ya kweli si tu kimwili bali hata kwa maneno.
Tulikaa naye kwa miaka miwili, lakini kwa kipindi chote hicho nilijikuta nikilia kila siku.
Alininyima mapenzi ya kweli si tu kimwili bali hata kwa maneno.
Hakuwa akinipa muda, hakuwahi kunipa sifa wala heshima, na mara nyingi aliniongelea vibaya mbele ya watu.
Nilivumilia kwa sababu nilidhani labda siku moja atabadilika. Lakini siku zilisonga, na mateso yakawa kawaida yangu.
Nilivumilia kwa sababu nilidhani labda siku moja atabadilika. Lakini siku zilisonga, na mateso yakawa kawaida yangu.
Nilijiona sifai, sina thamani, na sikustahili kupendwa. Wakati mwingine nilikuwa nikilala nikiwa nimejifunika na mto ili watoto wasisikie nikilia. Nilikuwa naumia sana, hasa kwa sababu sikuwahi kumkosea. SOMA ZAIDI.
Post A Comment: