1000076805


Viongozi, wadau na wananchi wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia 2024-2034.

Hafla hiyo inafanyika (leo) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es salaam.

Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Kaulimbiu: “Nishati Safi ya Kupikia kwa kila Mtanzania”
1000076802
1000076817
1000076814
1000076809
1000076807
1000076801
1000076812
1000076810
1000076816
1000076811
1000076813
1000076815
1000076828
1000076827
Share To:

Post A Comment: