Naibu Waziri wa Afya Dkt Godwin Mollel leo Aprili 2, 2024 amekutana na uongozi wa Baraza la Madaktari Tanganyika (MCT) na kujadili namna nzuri kuboresha utendaji kazi ikiwa ni pamoja na kuongeza ufanisi katika kusimamia maadili ya taaluma ya udaktari nchini. 




Share To:

Post A Comment: