Kamishina wa Ushirikishwaji wa Jamii, Dkt Mussa Ali Mussa akizungumza na wananchi wa Kata ya Isagenhe Tarafa ya Bukene Wilaya ya Nzega ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake ya ukaguzi wa uwepo wa Polisi Kata na kutoa elimu kuhusu Mpango wa Polisi Kata.
Meneja Miradi wa Shirika la Hans Seidel Foundation (HSF) Kadele Mabumba akizungumza na wananchi wa ya Isagenhe Tarafa ya Bukene Wilaya ya Nzega Mkoa wa Tabora walipokua katika ziara ya Pamoja na Kamishna wa ushirikishwaji wa Jamii ya kutoa elimu kuhusu Mpango wa Polisi.
Post A Comment: