Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee,  katika kesi ya uchochezi ya kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya Rais John Magufuli. 

Uamuzi huo umetolewa leo tarehe 28 Mei, 2020 na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba.

Inadaiwa Julai 3, 2017 katika ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA zilizopo mtaa wa Ufipa Wilayani Kinondoni, Mdee alitamka maneno  ya kuudhi dhidi ya Rais Magufuli
Share To:

Post A Comment: