Na. Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma.


Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuendeleza zaidi ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo na nishati kwa faida ya nchi hizo mbili. 

Hayo yamebainishwa jijini Dodoma, baada ya Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omary (Mb), kukutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Mhe. Tri Yogo Jatmiko Avetisyan.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Balozi Omar, ameishukuru Serikali ya Indonesia kwa mchango wake mkubwa katika kusaidia sekta mbalimbali za uchumi wa Tanzania ikiwemo sekta za madini, kilimo na mifugo tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1964.

“Mwaka huu ni maadhimisho ya miaka 62 tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Indonesia, na uhusiano wetu umeendelea kuimarika zaidi kadiri miaka inavyosonga mbele, na pia tumeona ziara kati ya viongozi wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipotembelea Indonesia, na Mhe. Prabowo Subianto Rais wa Indonesia alipokuja Tanzania, hii ni ishara ya uhusiano thabiti unaojengwa juu ya heshima na ushirikiano wa kweli,” alisema Mhe. Balozi Omar.

Aidha, Mhe. Balozi Omar alisema kuwa, dhamira ya Indonesia katika kukuza maendeleo endelevu na kupunguza umasikini imechangia kubadilisha kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi nchini Tanzania kupitia misaada ya kifedha, ushauri wa kitaalamu, na programu za kujenga uwezo.

Aidha Mhe. Balozi Omary aliwaalika wawekezaji kutoka Indonesia kuja kuwekeza nchini katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo, uongezaji thamani wa mazao, madini, viwanda, nishati, miundombinu, afya, elimu na utalii.

Kwa upande wake, Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Mhe. Tri Yogo Jatmiko Avetisyan, alisema kuwa katika kuhakikisha kuwa nchi hizo zinadumisha ushirikiano zaidi ya Watanzania 170 wamepata manufaa kupitia programu hizo za kujenga uwezo katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, mifugo, nishati, madini, uvuvi na fedha.

“Tutahakikisha tunaimarisha zaidi uhusiano huu kwa kuongeza kuwajengea uwezo wataalmu wa Tanzania ili maeneo yote tuliyokubaliana kushirikiana yanaleta tija na ustawi mpana wa uhusiano wa nchi hizi mbili,” alisema Mhe. Balozi Avetisyan.

Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Blandina Kilama, Kamishna wa Idara ya Fedha za Nje Wizara ya Fedha, Bw. Rished Bade, Kamishna Msaidizi Idara ya Usimamizi wa Deni la Serikali, Bi. Tiba Kisonga na maafisa wengine waandamizi kutoka Wizara ya Fedha na ubalozi wa Indonesia nchini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ameiagiza Wakala wa barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Arusha, Jeshi la Polisi pamoja na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kushughulikia kadhia ya foleni kwenye Jiji la Arusha kwa wakati ili kuondoa vikwazo katika shughuli za  kila siku za kiuchumi na Kijamii ndani ya Jiji la Arusha.

Katika kutekeleza agizo hilo, leo Jumatano Januari 14, 2026,  kimefanyika kikao kilichowahusisha Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa, TARURA, LATRA, TANROAD, Polisi na Idara ya Mipango Miji Jiji la Arusha, ambapo pamoja na mambo mengine wametangaza kufutwa kwa Vituo vya Mabasi katikati ya Jiji ambavyo vimekuwa vikitumika kushusha na kupakia abiria, wamiliki wa mabasi wakiagizwa kutumia Kituo Kikuu cha mabasi Arusha kwaajili ya abiria wao.

Kulingana na Mhandisi Julius Kaaya, Kaimu Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha akizungumza kwaniaba ya washiriki wa Kikao hicho, agizo hilo linaanza utekelezaji wake mara moja, wakitangaza kuchukua hatua kali za kisheria kwa kampuni ya mabasi itakayokaidi kutekeleza agizo hilo.

Kwa upande wake Afisa Mipango Miji Jiji la Arusha Bi. Doroth Absalom ameeleza kuwa kulingana na sheria, Kampuni za mabasi haziruhusiwi kutumia majengo ya makazi na biashara kama Vituo vyao vya mabasi, akisema ni sheria kwamba kila Basi kuanzia safari zake kwenye Kituo Kikuu cha mabasi Arusha, akionya pia kuhusu uoshaji holela wa mabasi pembezoni mwa barabara.







Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Sekta ya Sayansi), Prof Daniel Mushi, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani),wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani),wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

 

Wadau  wakichangia mada mbalimbali wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezitaka taasisi zote za elimu nchini kuongeza ubunifu na ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji kupitia matumizi bora, salama, na yenye uwajibikaji wa teknolojia za kidijitali.

Hayo yamesemwa   na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo,wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Prof. Nombo amewataka wadau wa elimu kuzingatia mabadiliko ya kidijitali kama hitaji la lazima, huku akisisitiza kwamba ustawi wa baadaye wa Tanzania unategemea nguvu kazi yenye ujuzi wa kidijitali na ubunifu, kama inavyobainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

“Mkakati huu unalenga kuweka mfumo wa kitaifa wa kuratibu na kuongoza mageuzi ya kidijitali katika ngazi zote za elimu kuanzia shule, vyuo vya ualimu, taasisi za TVET, vyuo vikuu, hadi ujifunzaji wa mtandaoni,” amesema Prof. Nombo.

Aidha, Prof. Nombo amesisitiza umuhimu wa ufundishaji wa kidijitali na ujumuishaji wa TEHAMA, pamoja na uelewa wa Akili Unde  (AI) na stadi za data katika mafunzo ya walimu. Ameeleza kuwa maendeleo endelevu ya kitaaluma kupitia majukwaa ya kidijitali ni muhimu ili kuwawezesha walimu kutumia teknolojia kwa ubunifu na uwajibikaji.

“Nafasi ya walimu ni nguzo kuu ya mageuzi kidijitali. Teknolojia peke yake haiwezi kuleta mabadiliko bila walimu wenye ujuzi na utayari wa kutumia teknolojia za kufundishia na kujifunzia,” amefafanua.

Prof. Nombo pia amesisitiza umuhimu wa Miongozo ya Kitaifa ya Elimu ya Kidijitali na Mwongozo wa Matumizi ya Akili Unde  katika Elimu, ambayo inalenga kuhakikisha matumizi ya teknolojia hayaingilii maadili, ulinzi wa data, ujumuishi, na ubora wa kitaaluma. Vyuo vikuu na taasisi za utafiti wanahimizwa kuongeza ubunifu na utafiti unaozingatia AI na teknolojia nyingine zinazochipuka.

Aidha,ametoa wito kwa taasisi za udhibiti na uthibitishaji ubora kama TCU, NACTVET, COSTECH, TCRA na ICTC kushirikiana na wizara na kutoa elimu ili kuhakikisha mshikamano wa kisera, ulinganifu, na muingiliano wa mifumo sambamba na sera na miongozo ya kitaifa.

Prof. Nombo amewahimiza kutoa  ushirikiano na washirika wa maendeleo na sekta binafsi, wakihimizwa kuunda suluhisho zinazolingana na muktadha wa Tanzania na kuunga mkono ukuaji wa stadi, ubunifu, na uendelevu wa elimu ya kidijitali.


“Usambazaji ni hatua ya kwanza tu. Utekelezaji unahitaji uongozi, uratibu, rasilimali na uwajibikaji. Naomba taasisi zote kuingiza Mkakati wa Kitaifa wa Elimu ya Kidijitali na Miongozo yake katika mipango yao, kuteua waratibu, kutenga rasilimali, na kushiriki kikamilifu katika ufuatiliaji, tathmini na kujifunza kwa pamoja.”amesema Prof. Nombo

Kwa upande wake,Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Sekta ya Sayansi), Prof Daniel Mushi, amepongeza hatua ya Serikali kuandaa Mkakati na Miongozo ya Kitaifa ya Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali katika Elimu, akisema juhudi hizo zinaweka msingi madhubuti wa mageuzi ya elimu yanayoendana na kasi ya dunia ya sasa.

 Prof Mushi amesema  hatua hiyo inalenga kuboresha ubora wa ufundishaji na ujifunzaji, kukuza ubunifu, na kuwaandaa walimu na wanafunzi kukidhi mahitaji ya zama za kidijitali.

Warsha hiyo ya siku mbili, inayofanyika Januari 14–15, 2026, inawakutanisha wataalam na viongozi mbalimbali wakiwemo makatibu wakuu, wakuu wa vyuo vikuu, viongozi wa VETA, wakuu wa vyuo vya ualimu, taasisi za maendeleo pamoja na wadau wengine wa elimu kutoka sekta za umma na binafsi.

“Huu ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kujenga mfumo mmoja na shirikishi wa matumizi ya teknolojia za kidijitali kwenye elimu. Ushiriki wenu unaonesha dhamira ya dhati ya kuijenga Tanzania yenye elimu bora, jumuishi na inayoshindana kikanda na kimataifa,” amesema Prof Mushi.

Kwa muda mrefu nilikuwa nikihisi kama maisha yangu hayasongei mbele. Kila nilipojaribu kupanga mipango, kulikuwa na mtu mmoja ambaye uwepo wake ulinitia wasiwasi bila hata kusema neno baya. Nilichoka haraka. Nilipoteza usingizi.

Nilijikuta nikiwa na hasira zisizoisha. Watu walidhani nina wivu au roho mbaya, lakini ukweli ni kwamba nilikuwa nimeelemewa kimya kimya. Nilipoanza kujiangalia kwa makini, niligundua kitu cha ajabu.

Kila nikiongea na mtu huyo, siku yangu huharibika. Kila nikimkumbuka, moyo wangu huzidiwa na uzito. Nilihisi kama kuna kamba isiyoonekana iliyokuwa inanivuta nyuma. Nilijaribu kupunguza mawasiliano, lakini bado niliendelea kuathirika.

Ndipo nikajua kwamba hii haikuwa hali ya kawaida. Nilipofika hatua ya kukata tamaa, nilipata ushauri wa kunifungua macho. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoamua-kumcut-off-katika-maisha-yangu-hatua-niliyochukua-ilinipa-amani-na-utulivu/
Siku zote nilikuwa nikihisi moyo wangu unaumika kila nilipomuona mpenzi wangu akipotea. Kila mara nilijaribu kuzungumza naye, lakini mara zote majibu yake yalikuwa ya kawaida, bila hisia yoyote. Nilihisi kama hatimaye ananipuuza kabisa.

Hali hiyo ilinifanya nijihisi mnyonge na kuchoka kiakili. Mara nyingi nililala nikiwa na huzuni, nikijiuliza kama bado angeweza kunipa nafasi ya pekee katika maisha yake.

Nilijaribu njia zote za kawaida kuongea, kumpa zawadi, hata kumsaidia katika changamoto zake lakini hakuna kilichobadilisha jinsi alivyokuwa akinionea.

Nilihisi kuwa kila kitu kilikuwa kinapita bila matokeo. Hata marafiki walinipendekeza nisumbue hisia zangu, lakini nilijua jambo hili linahitaji hatua kali na makini. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/alianza-kunifikiria-kila-siku-hata-nisipotuma-neno-hatua-nilizochukua-ndiyo-ilimfanya-kuniwaza-kwenye-akili-yake-kama-zuzu/
Nilikuwa nimekaa muda mrefu nikijaribu kuuza mali zangu. Kila siku nilipofikiria nyumba, gari, na shamba zangu, moyo wangu ulikuwa unazidi kuwa na hofu. Hakuna mnunuzi aliyekuwa tayari kuninunulia, na kila njia ya kawaida niliyojaribu ilishindikana.

Nilijaribu matangazo, wakala wa mali, hata kushirikiana na marafiki, lakini kila kitu kilishindikana. Hali ilikuwa ikiniletea shinikizo kubwa na kulazimisha ndoto zangu za kifedha kusimama. Nilihisi nimekufa kimya kimya kwa muda mrefu.

Nilijua lazima nifanye kitu, lakini hatuwezi kuona mwanga peke yetu.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/baada-ya-kukwama-kuuza-mali-zangu-hatua-niliyopata-ilibadilisha-kila-kitu-ndani-ya-muda-mfupi-sana/
Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi na maumivu niliyoyazoea kimya kimya. Kila kukojoa kulikuwa maumivu. Tumboni kulikuwa na moto. Wakati mwingine nilikuwa nashindwa hata kukaa kazini. Nilihisi aibu kuzungumza. Nilihofia kuhukumiwa.

Nilijaribu dawa za hospitali mara kwa mara. Dalili zilipungua kidogo, kisha zikarudi tena.
UTI ilinirudia kila baada ya muda mfupi. PID nayo ilininyima amani. Ndoa yangu ilianza kuyumba. Nilikuwa na hofu ya ukaribu.

Nililala vibaya. Nilichoka bila sababu. Kila nilipokwenda hospitali, nilikuwa na majibu yale yale. Nilianza kukata tamaa. Siku moja nilipata ushuhuda wa mwanamke aliyepata nafuu kwa dawa za asili. Nilikuwa na mashaka.

Nilikuwa nimechoka kujaribu kila kitu. Lakini niliamua kusikiliza. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/niliteseka-na-uti-na-pid-kwa-muda-mrefu-lakini-dawa-za-asili-zisizo-na-madhara-ndizo-zilizoniponya-kabisa/
Kwa muda mrefu, maisha yangu yalikuwa kama mzunguko wa kushindwa. Kila nilipoanza kitu kipya, kilivunjika kabla hakijaimarika. 

Biashara zilifungwa ghafla. Kazi zilipotea bila maelezo. Hata mahusiano yangu yalikuwa yanaisha kwa maumivu.

Nilijaribu kujilaumu. Nikadhani ni bahati mbaya ya kawaida. Lakini moyoni nilijua kulikuwa na kitu zaidi. Kila mtu aliyenijua alishangaa. Nilikuwa nafanya bidii kuliko wengi. Nilikuwa mwaminifu. Nilikuwa na mipango. Lakini matokeo hayakuonekana.

Kila pesa niliyopata ilitoweka. Madeni yaliongezeka. Hata usingizi ulikuwa mgumu. Nilianza kuishi kwa hofu na kukata tamaa kimya kimya. Siku moja nilikutana na mtu aliyenisikiliza kwa makini. Aliniambia si kila bahati mbaya ni ya kawaida.

Alinitajia kuhusu nyota ya baharini. Alisema nyota ikifungwa, mikosi hujirudia bila mtu kujua sababu. Soma Zaidi.......https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilivyotumia-nyota-ya-baharini-kuondoa-nuksi-na-mikosi-zilizokuwa-zikinifuatilia-maishani/
Nilikutana na jambo ambalo lilinishangaza sana. Kijana mmoja wa jirani yetu aliibuka akila nyasi katikati ya mtaa. Wote tulisimama, tukishangaa. Hakusema neno. Alikuwa na hali ya kushangaza, macho yake yalikuwa waziwazi yametoboka.

Tukaanza kuuliza majirani wengine. Wote walishangaa. Hakukuwa na mtu aliyeweza kueleza kilichokuwa kinaendelea. Kila mtu alijiuliza, “Ni nini kinamfanya afanye hivyo?”

Siku kadhaa baadaye, nilikumbuka kuwa kijana huyu mara nyingi alikuwa akipoteza mali zake. Kila mara alipoteza kitu, hakuwahi kupata suluhisho. Nilijua ni lazima nikichukue hatua.
Nikaamua kumtembelea.

Nilimkuta akibadilika polepole. Nilimsaidia kuelewa hali yake. Ndipo nilipogundua kuwa tatizo lake halikuwahi kuwa la kawaida. Kulikuwa na nguvu zisizoonekana zinazoingilia maisha yake. Soma Zaidi..https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mwanamme-aonekana-akila-nyasi-hadharani-baada-ya-kusingiziwa-wizi-kilichofichuka-baadaye-kilishangaza-wengi/
Nilipofungua mlango wa nyumba yangu asubuhi ile, sikujua kuwa siku yangu ingekuwa tofauti kabisa. Kitu kilichokuwa kimeachwa kilinifuta hofu yote ya kawaida na kuingia moja kwa moja katika maisha yangu.

Nilishangaa kuona umbo hilo na jinsi lilivyokuwa limepangwa kwa utaratibu usio wa kawaida.
Nilijaribu kuhoji majirani, lakini kila mmoja alikwepa kusema chochote. Hali hiyo ilinifanya nijihisi kutokuwa na nguvu, kwa sababu sikujua ni nani aliyefanya hivyo au kwa nini.

Nilihisi kutoelewa ni wapi ningepata suluhisho la haraka na la uhakika. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifungua-mlango-wa-nyumba-yangu-asubuhi-nikakuta-nimeachwa-kitu-ambacho-kilibadilisha-hatma-yangu-milele/
Nilipokuwa nikiangalia meza ya bet, moyo wangu ulikuwa ukipiga kwa wingi. Kila mara niliposhinda mara moja, mara kadhaa baadaye nilipoteza kila kitu. Nilijikuta nikipoteza pesa nyingi na kuwa na huzuni isiyoelezeka.

Nilijaribu mbinu zote nilizozijua, lakini matokeo yalikuwa sawa kila mara. Kila mara nilijisikia kama beti yangu haikuamsha bahati yoyote kwangu. Hali hiyo ilinifanya nijihisi kipotevu.

Nilijisikia kama kila nafasi ya ushindi ingali imefichwa kwangu. Nilijaribu kuzungumza na wenzangu, lakini walinipigia hila zisizo na maana. Nilijua nilihitaji msaada wa kweli, kitu cha kipekee ambacho kingerejesha bahati yangu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilivyoshinda-bet-kubwa-baada-ya-kupoteza-mara-nyingi-hatua-nilizochukua-ilinifanya-nione-ushindi/
Nilipokuwa nikiendesha biashara yangu ndogo, kila siku ilikuwa ni changamoto mpya. Mara nyingi nilijaribu mbinu mbalimbali za kuuza bidhaa zangu, lakini kila mara matokeo yalikuwa hafifu. 

Nilihisi kutokufanikisha, na mara nyingi nikajiuliza kama nitawahi kuona wateja wengi au kuleta mapato ya kutosha.

Kuona wenzangu wakiendelea kulinifanya nijihisi kidogo, na mara nyingine hata kuchoshwa na kuanza kufikiria kuacha.
Marafiki waliniambia kuwa mafanikio ya kweli hayaji kwa bahati tu.

Kuna siri na mbinu ambazo wafanyabiashara wenye mafanikio hutumia kwa makini, jambo ambalo wengi hawajui. Nilijua kuwa lazima nipate msaada wa kweli ili kugundua mbinu hizi na kurekebisha hali ya biashara yangu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/siri-zilizofichika-ambazo-wafanyabiashara-walioshikilia-mafanikio-hutumia-kukuza-biashara-yao/
Mimi ni mwanamke wa kawaida, lakini kwa miaka mingi nilipitia changamoto kubwa katika ndoa yangu. Kila siku nikiwa na mume wangu, nilipata huzuni na kukosa hamu. Nilijaribu kila njia ya kisaikolojia na kidaktari, lakini hakuna kilichobadilika.

Nilijihisi kimekwama ndani yangu, na kila usiku nilipolala nilihisi nikipoteza kitu muhimu cha maisha yangu ya ndoa. Nilijaribu kutafuta suluhisho la muda mfupi, lakini kila kitu kilikuwa cha muda tu.

Hisia za kukosa unyevu zikanifanya niwe na hofu ya kushiriki kitandani. Hii ilitengeneza barabara ndefu ya huzuni na migogoro midogo na mume wangu, na hali ya kukosa hamu ilikuza ukosefu wa mawasiliano. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/baada-ya-miaka-ya-kutokuwa-na-hisia-kitandani-hatimaye-nilipata-suluhisho-la-kudumu-la-kuongeza-unyevunyevu-sasa-mume-wangu-haepukii-usiku/
Ndoa yangu ilikuwa na changamoto kubwa. Kwa miaka mitatu, kila niliposhika mimba, nilipoteza haraka. Hii ilinifanya nihisi huzuni kubwa na kushindwa kabisa. 

Nilijaribu kila njia ya kisayansi na madaktari, lakini kila kitu kilishindikana.

Nilihisi kuumizwa na kukosa matumaini ya kweli ya kuwa mama. Wakati huo, shaka na hofu zilikua ndani yangu. Nilijua kuwa tatizo si la kawaida. Nilijaribu kuzungumza na mume wangu, lakini mara zote alikataa kuamini au kunisaidia.

Hali hii ilifanya maisha yangu ya ndoa kuwa magumu na yenye maumivu ya kihemko. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-3-ndoani-sikuwa-naweza-kushika-mimba-hadi-nilipogundua-alichokuwa-akinifanyia-mama-mkwe-sasa-nina-miezi-6-ya-ujauzito/
Maisha yangu ya mapenzi yalikuwa changamoto kubwa. Kila mwanamke niliyempenda, sikuweza kumridhisha. 

Hii ilinifanya nijihisi kushindwa kimawazo na kimahemko. Nilijaribu kila njia ya kawaida, madaktari, dawa, na mbinu za kiasili, lakini hakuna kilichofanikisha.

Nilihisi hofu kubwa kila nilipojitokeza mbele ya mwanamke. Hali hii ilikuza ujinga na kuanguka kwa heshima yangu binafsi. 

Nilipokuwa nikisafiri, nilihisi kuwa watoto wangu wako salama. Nilidhani kila kitu kiko chini ya udhibiti. Lakini siku moja, ukweli uliibuka ulinitisha. Msaidizi wa nyumbani alikuwa akiwalea watoto wangu kwa njia isiyo ya kawaida.

Alitumia maziwa yake binafsi kumlisha mtoto wangu mdogo, jambo ambalo nilihisi halikubaliki. Nilijaribu kumtafuta ili kuelewa sababu, lakini alikataa kueleza kikamilifu. Kila mara niliuliza, alijibu kwa hofu na hila.

Nilihisi hasira na mashaka kuwa alikuwa anajaribu kunitengenezea shida nyumbani. Nilijua hatua lazima zichukuliwe kabla hali isije ikawa mbaya zaidi. Baada ya kushauriana na marafiki, niliamua kutafuta msaada wa kiroho na kienyeji. Soma Zaidi...
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/msaidizi-wa-nyumbani-afichuliwa-kulea-mtoto-wangu-kwa-maziwa-yake-nikiwa-niko-mbali-sikumruhusu-kuondoka-kirahisi-bila-kumfunza-onyo/
Chupi zangu na za wenzangu zilianza kupotea kwenye ploti yetu bila sababu dhahiri. Kila siku nilipokuwa nikipita kwenye nyumba, kitu kingine kilikuwa kimetoweka. Nilihisi hofu ikipanuka ndani yangu, na kila mwanamke katika familia yetu alikuwa kwenye taharuki.

Hatukuweza kuelewa ni nani alikuwa akifanya hivi, na hofu ilianza kudhoofisha amani yetu nyumbani. Nilijaribu kuangalia kila kona ya nyumba, na hata kutia kamera kidogo, lakini kila kitu kilikuwa sawa mchana.

Giza la usiku lilipofika, hisia za kutokuwa na uhakika zilikuwa kubwa zaidi. Kila mmoja wetu alihisi kushukiwa, na majirani walishaanza kuangalia kwa macho makali kila wakati tunapopita.

Baada ya siku chache, tuliamua kuangalia msitu uliokuwa karibu na nyumba yetu. Nilipokuwa nikiingia pale, nikagundua kitu kilichonishangaza sana. Chupi zetu zilisambazwa kwenye majani, zikionyesha wazi kuwa mtu alikuwa anazikusanya kwa siri. Soma Zaidi..https://kiwangadoctor.com/kiswahili/chupi-zilianza-kupotea-katika-ploti-yetu-hatimaye-zikapatikana-katika-msitu-moja-kilichofichuliwa-kilishangaza-wengi/
Nilipokuwa nikipita karibu na salon ya mrembo huyu maarufu, kila mara nilihisi kushangaza kwa nini hauruhusu wateja kuona milango ya vioo ndani. Salon yake ilikuwa imejazwa na wateja kila siku, lakini swali lililoibuka ni: kwanini hajaruhusu vioo?

Mara nyingi nilijaribu kuhoji wateja wengine, lakini kila mmoja alikwepa kueleza maana halisi. Niliamua kuingia moja kwa moja na kuuliza kwa mrembo huyo. Alianza kutojibu kwa dhahiri, jambo lililonifanya nishuke shaka kuwa kuna kitu kilichofichwa. Soma Zaidi.........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/saloonist-afichuliwa-sababu-halisi-kwa-nini-hajaruhusu-vioo-katika-salon-yake-ya-kipekee/

 


Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kutokana na uwepo wa vyanzo vingi vya nishati ya jotoardhi, Tanzania inayo fursa ya kuviendeleza vyanzo hivyo ili wananchi wapate nishati ya kutosha, nafuu na endelevu  ikiwa pia ni sehemu ya kuunga mkono malengo ya dunia ya kuelekea kwenye uzalishaji wa umeme unaotokana na nishati safi.

Akizungumza kwenye Baraza la Kimataifa la Nishati Jadidifu (IRENA) katika Mkutano wa Mwaka wa Muungano wa Kimataifa wa Jotoardhi (Global Geothermal Alliance – GGA), unaofanyika Jijini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu, Waziri Ndejembi amesema  Serikali imeweka mipango ya uzalishaji wa umeme wa jotoardhi katika Dira ya Maendeleo 2050, Sera ya Taifa ya Nishati ya mwaka 2015, Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Dunia (SDGs) na Mkataba wa Nchi kuhusu Masuala ya Mabadiliko ya Tabia Nchi (NDCs).

Amesema Tanzania pia kupitia Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi (TGDC) inaendeleza maeneo kadhaa ya kipaumbele ya jotoardhi ikiwemo Ngozi (MW 70), Songwe (MW 5–38), Kiejo-Mbaka (MW 60), Natron (MW 60) na Luhoi (MW 5), huku lengo likiwa ni kuwa na mtambo wa kwanza wa kuzalisha umeme wa megawati 130 ifikapo 2030 ambapo mtambo huo utaanza kwa kuzalisha megawati 30.

Katika Mkutano huo, Waziri Ndejembi amealika wawekezaji nchini akieleza kuwa Tanzania inaendelea kuweka mazingira rafiki ya uwekezaji, kuimarisha mifumo ya kisheria na kanuni ili kutoa uhakika wa uwekezaji, kuboresha michakato ya kupata leseni na vibali pamoja na kuboresha mazingira ya upatikanaji wa data za jotoardhi.

Aidha, ili kuweza kuiendeleza ipasavyo nishati ya jotoardhi Ndejembi amesema bado kunahitajika mikopo ya riba nafuu pamoja na kuwa na ushirikiano na Jumuiya za kimataifa pamoja na Sekta binafsi ili kukabiliana na changamoto ya uendelezaji hasa katika hatua za awali za utafiti ambazo zina gharama kubwa.

Ameongeza kuwa, Tanzania pia inakaribisha  mataifa yaliyopiga hatua katika uendelezaji wa jotoardhi kuendeleza Wataalam wazawa katika masuala ya Jotoardhi.

Ndejembi amesema kuwa kutokana na uwepo wa Bonde la Ufa, Tanzania imebarikiwa kuwa na vyanzo vingi vya jotoardhi vinavyoweza kuzalisha megawati 5,000 za umeme. Ametaja kuwa kuna maeneo 52 yenye viashiria vya jotoardhi ndani ya mikoa 16.

Akifungua mkutano huo, Naibu Mkurugenzi Mkuu wa IRENA, Gauri Singh amesema kuwa nishati ya jotoardhi ni muhimu duniani katika kutoa hakikisho la usalama wa nishati lakini ameeleza kuwa bado mchango wake bado ni mdogo duniani katika kuzalisha umeme hivyo vyanzo zaidi vinapaswa kuendelezwa.

Katika mkutano wa IRENA, Waziri Ndejembi ameambatana na Kaimu Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Bakari Ameir, Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Nishati Jadidifu, Mhandisi Imani Mruma pamoja na wataalamu wengine kutoka Wizara ya Nishati.

Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Mtumba, Anthony Mavunde, amesema ana mpango wa kujenga eneo maalumu litakalofanya kazi kama kijiji cha wanawake kwa ajili ya kuwakutanisha wanawake wafanyabiashara katika sehemu moja ili waweze kuuza bidhaa zao kwa pamoja.

Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Januari 12, 2025 jijini Dodoma wakati akizungumza na wanawake kwenye hafla ya kukabidhi vitendea kazi kwa wanawake waliohitimu mafunzo ya ufundi stadi kupitia Chuo cha Veta, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwawezesha wanawake kiuchumi.

Amesema kijiji hicho kitatoa fursa kwa wanawake kufanya biashara katika mazingira rafiki, kubadilishana uzoefu pamoja na kuongeza thamani ya bidhaa zao, hali itakayosaidia kuongeza kipato na kuchangia maendeleo ya familia na taifa kwa ujumla.

“Lengo letu ni kuwawezesha wanawake kiuchumi kwa vitendo, ndiyo maana tunapanga kuwa na eneo maalumu litakalowaunganisha wanawake wote wanaojishughulisha na biashara mbalimbali,” amesema Mavunde.

Aidha, amewataka wanawake wa Jiji la Dodoma kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza ikiwemo mafunzo ya ufundi, mikopo na miradi ya maendeleo ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha maisha yao.

Kwa upande wao, wanufaika wa mafunzo hayo wamesema vitendea kazi walivyokabidhiwa vitawawezesha kuanza na kuendeleza shughuli zao za kiuchumi, huku wakimshukuru Mavunde na Serikali kwa kuwapa mafunzo na msaada unaowawezesha kujitegemea.

“Tunashukuru kwa mafunzo na vitendea kazi hivi, sasa tuna uhakika wa kuanza kujipatia kipato na kusaidia familia zetu,” amesema Boke Ramadhan

Naye Sylvia Mpanda amesema kuwa wangetamani eneo watakalojengewa basi liwe la mjini ili wawapate wateja wengi kutoka maeneo mbalimbali kwani wateja wengi wanapatikana maeneo yenye watu wengi

"Sisi tutafanya kazi kwa kikundi hivyo kwenye hichi kijiji atakachoanzisha Mhe Mavunde kitakuwa na wanawake wengi hivyo niwatake wanawake wengine kuacha kulala majumbani na waje kuchangamkia fursa zinazotolewa na serikali yetu." Amesema Sylvia